m

"If you want to conquer fear, don't sit at home and think about it. Go out and get busy. "

-- Dale Carnegie, motivational expert

Tuesday, 17 March 2015

Get the best IT websites

Dear IT expert, here are list of the best IT websites; Software Downloads , IT discussions , IT Articles etc.. 
 http://www.techrepublic.com
http://slashdot.org
https://isc.sans.edu//diary.html
http://arstechnica.com
http://computer-news.nettop20.com
http://www.gpanswers.com/
http://www.practicallynetworked.com/
https://www.techsupportalert.com/
https://technet.microsoft.com/en-us/scriptcenter/default.aspx
http://it.toolbox.com/
http://www.informationweek.com/

WARAKA WA ELIMU NA 3 WA MWAKA 2015 KUHUSU VIGEZO VYA UDAHILI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO


| Print |
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inatoa Waraka kuhusu vigezo vya kudahili wanafunzi wa Kidato cha Tano ili kuwaongoza wamiliki wa Shule za Sekondari zenye Kidato cha Tano katika kudahili wanafunzi wa Kidato cha Tano, mwaka 2015. Waraka huu utatumika kwa shule zote, yaani za Serikali na zile zisizokuwa za Serikali.

ISOME KATIBA INAYOPENDEKEZWA USIKIMBIE KUPIGA KURA

Mtanzania ninayo shauku kukuchochea kushiriki kupiga kura ya NDIYO/HAPANA kwa ajili ya katiba inayopendekezwa. Tafadhali usikimbie kupiga kura kwani ni haki yako ili kuzuia kuwapa nafasi wachache kwa ajili ya maamuzi muhimu ya nchi. Isome katiba kisha ushiriki kupiga kura kwa kuepuka unafiki, ikiwa hujaridhika nayo utapiga kura ya HAPANA maana yake utakuwa umezuia kupitisha katiba inayopendekezwa na ikiwa umeipenda utapiga kura ya ndiyo. 

IKIWA HUJAPATA NAKALA YA KATIBA MFUATE MWENYEKITI WA KIJIJI/MTAA AU KITONGOJI


JE SERA MPYA YA ELIMU NDIO SULUHISHO LA MATATIZO YA ELIMU NA AJIRA TANZANIA?

Hivi karibuni kumezinduliwa sera mpya ya elimu na mheshimiwa rais Dkt. J.Kikwete. Kumekuwa na kilio juu ya elimu yetu na changamoto ya ajira. Je sera hii mpya ndio mwarobaini?

BOFYA HAPA UPAKUE SERA MPYA YA ELIMU UJISOMEE MWENYEWE