Ni liquid Carbon dioxide sawa na ile ya Kyejo, Mwakaleli, uzinduzi wake kufanyika karibuni. Gesi hii ni muendelezo wa uchimbaji wa Gesi katika ukanda huo ambayo awwali ilikuwa ikichimbwa eneo moja tu la Kyejo huko Mwakaleli na kammpuni ya TOL GASES LTD.
Ama kweli ule usemi kuwa kila mahali unapokanyaga Tanzania ni madini tu.
Swali ni kuwa je sasa ni lazima kila madini yanapogunduliwa yachimbwe haraka?Swali ni kuwa je sasa ni lazima kila madini yanapogunduliwa yachimbwe haraka?