Kwanza napendekeza serikali ya Muungano wa kuwa na serikali moja yenye majimbo na magavana. Mfano Marekani kwani ndio mfano wa muungano bora uliodumu kwa muda mrefu na pia hauna gharama kubwa kama shirikisho la serikali tatu
Pia serikali tatu itatugawa zaidi.
Kama ikishindikana basi iwe shirikisho la serikali tatu lakini kwa masharti ya kurejesha serikali Tanganiyika kwani inashangaza kuzungumzia Tanzania bara na Zanzibar tunajua fika kuwa hakuna serikali ya tanzania bara isipokuwa baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuunda Tanzania. hivyo basi kama inarejeshwa Zanzibar basi irejeshwe na Tanganyika.
Tafadhali toa maoni yako kwenye kiunga kulia.
m
"If you want to conquer fear, don't sit at home and think about it. Go out and get busy. "
-- Dale Carnegie, motivational expert
Sunday, 28 July 2013
Friday, 12 July 2013
GEOGRAPHY PARTY SJUT-DSM FULL JOY
Students completing bachelor degree in Geography subject at St. John's University of Tanzania (SJUT) -Dar es Salaam have a big party at LT 7 on Wednesday 10.07.2013. The party was arranged accordingly to share ideas and joy among students and Geography department staffs. Here are photos showing how the party was interesting.
Bites make geographers get together, here Peter Kapagi-KII director and other students sharing bites
Photos taken by James Mgeni under Kapagi Info Institute-KII
Graduants enjoying bites
John Janet, Papalika and madam Florida sharing ideas
Former Geography CR Kabuta acknowledging
Students pay attention to speech from geography lecturers
Popular student Sweke going to give the gift to Mr Baitu
Lecturers share ideas
Tusekelege, a popular students according her bantu name enjoying soft drink
Bites make geographers get together, here Peter Kapagi-KII director and other students sharing bites
Hot welcome to lectures
Unity photos
Lecturer Magava under critical thinking
High table under lecturer Mr Baitu was full of beautiful Flowers
Gift to Mr Magava provided by CR Jackline on behalf of Geographers
Madam adelina (3rd from right) among of the geography students wondering the goodness of the party.Photos taken by James Mgeni under Kapagi Info Institute-KII
Tuesday, 9 July 2013
KUNYWA MAFUTA YA UBUYU NI HATARI!
TFDA imebaini kuwa mafuta ya ubuyu yana tindikali inayosababisha saratani katika mwili wa binadamu. Tahadhari hiyo imetolewa kwenye maonyesho ya Sabasaba yanayofanyika jijini Dar es Salaam.
Kwa habari zaidi bofya hapa
http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/13865-mafuta-ya-ubuyu-ni-dawa-hatari
Saturday, 6 July 2013
Ndege Boeing 777 yaanguka Marekani
Kwa habari zaidi kwa lugha ya kiingereza unaweza tembelea http://www.cnn.com/2013/07/06/us/california-plane-incident/index.html?hpt=hp_t1
Subscribe to:
Posts (Atom)