m

"If you want to conquer fear, don't sit at home and think about it. Go out and get busy. "

-- Dale Carnegie, motivational expert

Sunday, 28 July 2013

Nionavyo juu Muundo wa Muungano wa Tanzania

Kwanza napendekeza serikali ya Muungano wa kuwa na serikali moja yenye majimbo na magavana. Mfano Marekani kwani ndio mfano wa muungano bora uliodumu kwa muda mrefu na pia hauna gharama kubwa kama shirikisho la serikali tatu
Pia serikali tatu itatugawa zaidi.
Kama ikishindikana basi iwe shirikisho la serikali tatu lakini kwa masharti ya kurejesha serikali Tanganiyika kwani inashangaza kuzungumzia Tanzania bara na Zanzibar tunajua fika kuwa hakuna serikali ya tanzania bara isipokuwa baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuunda Tanzania. hivyo basi kama inarejeshwa Zanzibar basi irejeshwe na Tanganyika.

Tafadhali toa maoni yako kwenye kiunga kulia.

Friday, 12 July 2013

GEOGRAPHY PARTY SJUT-DSM FULL JOY

Students completing bachelor degree in Geography subject at St. John's University of Tanzania (SJUT) -Dar es Salaam have a big party at LT 7 on Wednesday 10.07.2013. The party was arranged accordingly to share ideas and joy among students and Geography department staffs. Here are photos showing how the party was interesting.
Graduants enjoying bites
John Janet, Papalika and madam Florida sharing ideas
Former Geography CR Kabuta acknowledging

Students pay attention to speech from geography lecturers
Popular student Sweke going to give the gift to Mr Baitu
Lecturers share ideas
Tusekelege, a popular students according her bantu name enjoying soft drink

Bites make geographers get together, here Peter Kapagi-KII director and other students sharing bites
Hot welcome to lectures

Unity photos
Lecturer Magava under critical thinking
High table under lecturer Mr Baitu was full of beautiful Flowers
Gift to Mr Magava provided by CR Jackline on behalf of Geographers
Madam adelina (3rd from right) among of the geography students wondering the goodness of the party.
Photos taken by James Mgeni under Kapagi Info Institute-KII

Tuesday, 9 July 2013

KUNYWA MAFUTA YA UBUYU NI HATARI!

TFDA imebaini kuwa mafuta ya ubuyu yana tindikali inayosababisha saratani katika mwili wa binadamu. Tahadhari hiyo imetolewa kwenye maonyesho ya Sabasaba yanayofanyika jijini Dar es Salaam. 

Kwa habari zaidi bofya hapa

http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/13865-mafuta-ya-ubuyu-ni-dawa-hatari 


Saturday, 6 July 2013

Ndege Boeing 777 yaanguka Marekani

Video from the scene posted on YouTube shows dark gray smoke rising from the aircraft.Habari mpasuko kutoka shirika la habari CNN zinaripoti kuwa ndege kubwa aina ya Boeing 777 ya kiasia imeanguka ilipokuwa ikitua uwanja wa ndege wa Kimataifa wa San Frasinco marekani. Moshi mweuzi umeoneka ukifuka kutoka ndege ilipoanguka na bado hakujaripotiwa ikiwa kuna majeruhi au vifo vyovyote.
Kwa habari zaidi kwa lugha ya kiingereza unaweza tembelea http://www.cnn.com/2013/07/06/us/california-plane-incident/index.html?hpt=hp_t1