m

"If you want to conquer fear, don't sit at home and think about it. Go out and get busy. "

-- Dale Carnegie, motivational expert

Tuesday, 9 July 2013

KUNYWA MAFUTA YA UBUYU NI HATARI!

TFDA imebaini kuwa mafuta ya ubuyu yana tindikali inayosababisha saratani katika mwili wa binadamu. Tahadhari hiyo imetolewa kwenye maonyesho ya Sabasaba yanayofanyika jijini Dar es Salaam. 

Kwa habari zaidi bofya hapa

http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/13865-mafuta-ya-ubuyu-ni-dawa-hatari