m

"If you want to conquer fear, don't sit at home and think about it. Go out and get busy. "

-- Dale Carnegie, motivational expert

Friday, 28 February 2014

YODAE: MBEBA MAONO NI LAZIMA AWE MTII NA MWENYE KUFUATA MAELEKEZO

Shalom Mpendwa.
Mwanzo: 37
Ninaendelea kujifunza kutoka kwa Mbeba maono Yusufu. Watu wengi tunamtazama Yusufu kam ambeba maono tu, lakini kumbe hatupaswi kuishia hapo tunatakiwa kuangalia namna alivyoyabeba maono na nguvu iliyomwezesha kubeba maono yake.

Maono ni jambo la kwanza, kubeba ni jambo la pili na nguvu ni jambo la tatu. Unaweza ukawa na maono lakini maono yako yakafa kwa sababu umeshindwa kubeba, wakati mwingine unaweza ukayabeba maono lakini ukashindwa kuendelea nayo kwa. Mpenzi kuinua mzigo ni jambo rahisi lakini kuendelea nao ama kupiga hatua nao ni jambo lingine gumu sana kwani inategemea nguvu ya misuli uliyonayo.

Binafsi naamini hakuna kijana aliyekosa maono ikiwa ana imani thabiti kwani Yoeli 2:28 inatamka wazi kuwa vijana wataona maono. Vijana wengi wanalo jambo la kufanya lakini hawajatambua na waliotambua wameshindwa kubeba. Lazima kuwa mwanagalifu unapokuwa na maono.

Kubeba maono ni kama kubeba YAI, yai si kiumbe chenyewe bali kasha lililobeba kiumbe kumbe kulivunja ni kuvunja kiumbe na kulitunza vizuri ni kutunza kiumbe kijacho. Kwa mfano kufikiri kuanzisha shule ni sawa na yai kwani mawazo yamebeba shule lakini si shule yenyewe.

Unapobeba maono kunakuwa na changamoto nyingi ambazo zinaweza kuharibu au kuua kabisa maono yako.

Kwa leo hebu tujifunze kwa Yusufu nguvu iliyomsaidia kubeba maono. YUSUFU ALIKUWA MTII NA MWENYE KUFUATA MAELEKEZO katika safari yake ya maono. Ndugu unapobeba maono umeanza safari ni kama kuku anapoatamamia yai, kutotoa kwa vifaranga kutategemea namna ambavyo atadhamiria kuatamia mayai yake.

AMUA KUATAMIA MAONO YAKO

Yusufu alikuwa mtii kweli kwani tunamtazama akiwa na umri wa miaka 17 tu tayari ameanz kuota ndozo zinazotoa maelekezo ya maono yake...nini atafanya kwa wakati gani na kwa nani.

Utii unaonekana kwa Yusufu kwanza kila alipoota kamsimulia baba yake na familia yake mst. 2, 5 na 9. Pili Yusufu alipotumwa kwenda kuwaona nduguze bado anaendelea na desturi ya utii kwani inaoneka anaenda mahali asipojua vizuri ndio maana anapofika anauliza wapo wapi ndugu zake na hapo tena utaona namna Yusufu anavyopenda kufuata maelekezo kwani anauliza. Hizi ni tabia za kawaida kwa mtu lakini zina maana sana kwa ajili ya kutunza maono. Mst 15

Utii wa Yusufu ndio uliopelekea kuweza kubeba maono yake, Kwani Ysufu unafiak wakati nduguze wanamkamata wanamvua kanzu bao hatuambiwi kama alileta matata bali alitii, wanamtumbukiza kisimani bado hakuleta matata akatii, wanamuuza bado akatulia akatii, Wamidiani wanamchukua hadi Misri bado anatii na tena wamidiani wanamuuza kwa Potifa bado anatii (kama angeleta matata ingeandikwa).

Kumbe kama umebeba maono ni lazima uwe mtii, unaweza kukumbana na mugumu wakati wa maono lakini yakupasa uchukulia kama changamoto tu, Yusufu aliandaliwa kuwa mtawala lakini tunaona natawaliwa na ndugu zake na hata utumwani jambo ambalo ni kinyume na alivyoona. Yeye anaona kutawala lakini yanayotokea ni kutaliwa na hata kutaka kuuawa. mst 23, 24, 27, 28, 36.

Maisha ya ushindi ni pamoja na kuwa na maono, wengine waimngia dhambini kwa sababu hawana maono, hawajui nafasi yao na wanapoelekea.

Ikiwa umebeba maono kubali kuwa mtii kwa Mungu mwenyewe, viongozi wa Imani na wakati mwingine hata watawala kwani hujua ni nani atakayeweza maono yako, maono yatatekelezeka kutia nani. Yusufu ilikuwa kupitia nduguze na hatimaye Farao

Wednesday, 26 February 2014

DOWNLOADS: Windows Free downloads

A PC running Windows 8.1


Click this link to visit downloads

‘Anayeona posho haimtoshi afungashe virago’


Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.PICHA|MAKTABA 
Na Daniel Mjema, Mwananchi

Posted  Jumanne,Februari25  2014  saa 24:0 AM
Kwa ufupi
Hoja ya kutaka nyongeza ya posho iliibuliwa na wajumbe wawili ambao pia ni wabunge wa CCM, Richard Ndasa (Sumve) na Suleiman Nchambi (Kishapu).


Dodoma. Wizara ya Fedha imepigilia msumari maombi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ya kutaka waongezewe posho na kusema anayeona ameacha kazi inayomlipa zaidi kwenda bungeni afungashe virago na kuondoka.
Msimamo huo umekuja siku moja tu baada ya gazeti hili kudokeza kuwa madai ya wajumbe wa bunge hilo kutaka waongezewe posho kutoka Sh300,000 za sasa kwa siku, yamegonga mwamba baada ya kamati iliyoteuliwa kuchunguza uhalali wake kusema kiwango hicho kinatosha.
Mwenyekiti wa muda wa bunge hilo, Pandu Kificho alisema jana bila kutaja viwango, kuwa ripoti ya kamati hiyo imewasilishwa kwa Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi.
Madai ya wajumbe kutaka waongezewe posho, yamechafua hali ya hewa ndani na nje ya Bunge, huku baadhi ya wananchi wakipaza sauti zao na kumsihi Rais Kikwete alivunje bunge hilo iwapo wajumbe watashikilia msimamo wa kutaka nyongeza ya posho.
Jana, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alisema wanaoshiriki kutunga Katiba ni Watanzania na siyo wataalamu washauri waliokodiwa kutoka nje.
Alisema kwa msingi huo, Serikali ilitarajia kuwaona watu hao wakitanguliza uzalendo zaidi badala ya kudai malipo manono.
“Katika kutengeneza Katiba hii, hatujakodi consultants (wataalamu washauri) kutoka Uingereza, Marekani, Kenya, Uganda wala nchi nyingine yoyote… Hawa ni Watanzania na kazi wanayoifanya ni yao,” alisema.
“Wangekuwa wataalamu wa kukodi wangeweza kudai malipo hayo, lakini hapa ni tofauti... wanafanya kazi yao na kila mtu anafanya kazi yake na anapaswa kujivunia kushiriki katika tendo hili la kihistoria kwa kutanguliza uzalendo,” alisema.
Nchemba alisema anazielewa hoja za baadhi ya wajumbe walioibua suala la posho, lakini kwa mtazamo wake, hoja hiyo hata kama ingekuwa na mashiko kiasi gani, imewasilishwa wakati usiokuwa mwafaka. Alisema wapo makandarasi na wazabuni waliotoa huduma kwenye taasisi mbalimbali za umma lakini hawajalipwa.
Alisema kwa kawaida, Februari ni mwezi mbaya kwa kuwa baadhi ya wilaya zina historia ya kukumbwa na uhaba wa chakula hivyo kuhitaji fedha nyingi za Serikali ili kuokoa maisha ya watu katika maeneo hayo.
Pia alisema si wakati mwafaka wa kudai nyongeza hiyo hasa ikizingatiwa kuwa kuna walimu wapya 30,000 nchini kote ambao hawajapangiwa vituo kutokana na kukosekana kwa fedha za kulipa stahiki zao.
Nchemba alisema mbali na walimu hao wapya kutokupangiwa vituo, walimu wengine wanadai malimbikizo ya fedha zao na kwamba hawajalipwa kutokana na ufinyu wa bajeti serikalini.
Soma zaidi http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-Anayeona-posho-haimtoshi-afungashe-virago-/-/1597296/2220374/-/item/1/-/tmerhu/-/index.html

Tuesday, 25 February 2014

DOWNLOADS: Get best Antivirus Microsoft Security Essentials

Download free antivirus
Click this link to Download
Microsoft Security Essentials 

Complete guide to using Windows 8 (roundup)


Microsoft's newest operating system has a whole new interface and loads of new features. Of course, learning a whole new operating system always takes a little time. Here are our tips for getting up to speed quickly and getting the most out of Windows 8.

Preparing for Windows 8

Check compatibility
Is the software and hardware on your PC compatible with Windows 8? It's easy to find out with the Windows 8 Upgrade Assistant.
Read: Check your PC for Windows 8 readiness with upgrade assistant
Get your PC ready
If you're planning to upgrade to Microsoft's latest OS, now might be a good time to begin preparing your PC.
Read: How to prepare your PC for Windows 8
Try it out -- sort of
You've probably heard about the new Metro interface in Windows 8, but how to know if you'll like it? Current Windows users can get a sneak peek into the look and feel of Metro with the free metro7 app.
Read: How to try the Windows 8 Metro interface free
Get Windows 8
Microsoft's biggest desire is to get you using Windows 8, and fast. Here's how to use that $40 upgrade to flip older versions of Windows to Windows 8.
Read: How to upgrade to Windows 8

Starting up and shutting down

Skip the log-in
Users who don't need the security of a lock screen and a log-in screen can bypass both through a few simple steps.
Read: How to bypass the Windows 8 log-in screen
Get the start menu back
Three free utilities can replicate the classic Start button and menu in Windows 8.
Read: How to get the classic Start menu back in Windows 8 RTM
Going back to start
Clean and simple, Windows 8's Desktop mode also lacks any apparent ways to get back to Metro. Here's three tips on how to do just that.
Read: How to return to the Windows 8 Start screen
Use a picture as your password
Tablet and PC users alike can create a picture password in Windows 8 as a visual way of signing in. Here's how.
Read: How to create a picture password in Windows 8
Shut down with a tile
Shutting down or rebooting Windows 8 can be as easy as point, then click, if you want it to be.
Read: How to create a shutdown and reboot tile in Windows 8

The basics

Keyboard shortcuts
Windows 8 has some new keyboard shortcuts that will help you get around Microsoft's latest OS.
Read: 23 new keyboard shortcuts for Windows 8
Set default programs
Windows 8 chooses its default players to run your music and video, but what if you want different programs to open your files? Here's how to change them.
Read: How to change default programs in Windows 8
Task Manager
The most neglected feature of Windows since it landed in 1995, Task Manager has finally received some love in Windows 8. Here's what's new.
Read: How to use Windows 8 Task Manager
Automatic backups
The new File History feature in Windows 8 can automatically back up your documents, music, pictures, and other personal files.
Read: How to automatically back up your personal files in Windows 8
Sync your devices
One of the best things about Windows 8 is that you can sync settings, apps, and more across multiple computers and tablets. Here's how you do it.
Read: How to set up sync on Windows 8
Printing
Printing from a Metro app in Windows 8 works differently than printing from a Desktop app. So, how do you print from a Metro app?
Read: How to print from a Metro app in Windows 8
Get Windows Media Center back
Windows Media Center isn't included with Windows 8, but for a limited time, you can get it free of charge.
Read: How to add Windows Media Center to Windows 8 Pro for free

Advanced tips

Run Windows 8 Desktop and Metro side by side
Not sure if you prefer Windows 8 in Desktop or Metro view? With an external monitor you can use both at the same time.
Read: Run Windows 8 desktop on a second monitor
Dual-boot with 7
Dual-booting your Windows 7 PC with Windows 8 can help you ease into using Windows 8.
Read: How to dual-boot Windows 7 with Windows 8
Make it kid-safe
Parental controls in Windows 8 are more configurable and robust than ever before. We'll show you how to use parental controls in Windows 8 to help keep kids safe while using a PC.
Read: How to use parental controls in Windows 8

Source http://howto.cnet.com/8301-11310_39-57529213-285/complete-guide-to-using-windows-8-roundup/

Monday, 24 February 2014

Facebook kununua WhatsApp kwa Sh 30.9 trilioni



Usimamizi wa Facebook ulisema utalipa Dola4 bilioni pesa taslimu na Dola 13 bilioni kupitia ubadilishanaji wa hisa.PICHA|MAKTABA 
Na Mwandishi wetu, Mwananchi

Posted  Ijumaa,Februari21  2014  saa 24:0 AM
Kwa ufupi
WhatsApp ni maarufu miongoni mwa vijana wanaotafuta kuepuka kulipia huduma ya kutuma ujumbe mfupi wa simu (SMS).


Marekani. Kampuni ya Mtandao wa Jamii ya Facebook imesema itanunua mtandao wa mawasiliano wa ujumbe mfupi wa WhatsApp kwa Dola 19 bilioni za Marekani (Sh30.9 trilioni), ili kuimarisha umaarufu wake hasa miongoni mwa vijana.
Pia, wasimamizi wa Facebook walitangaza nyongeza zaidi ya Dola 3 bilioni zitalipwa waanzilishi wa Mtandao wa WhatsApp na wafanyakazi wake.
Hiyo ndiyo biashara kubwa zaidi ya ununuzi ambayo iliwahi kutekelezwa na Facebook kufikia sasa.
WhatsApp ni maarufu miongoni mwa vijana wanaotafuta kuepuka kulipia huduma ya kutuma ujumbe mfupi wa simu (SMS).
WhatsApp iliweza kuwasajili zaidi ya watumiaji milioni 450. Katika taarifa yake, Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg alisema mtandao huo upo kwenye harakati ya kuwaunganisha watu bilioni moja, jambo litakalofanya Facebook kuwa na thamani kubwa zaidi.
Zuckerberg alisema idadi kubwa ya watumiaji wa Facebook wanatumia simu za mkononi, hivyo mtandao wa WhatsApp ambao hutumiwa kwa simu utasaidia kuimarisha mawasiliano kwa gharama ya chini. Mitandao hiyo imekuwa na watumiaji wengi duniani.
Jan Koum alitangazwa kujiunga na bodi ya usimamizi wa mtandao wa Facebook.
Usimamizi wa Facebook ulisema utalipa Dola4 bilioni pesa taslimu na Dola 13 bilioni kupitia ubadilishanaji wa hisa.
Masharti
Watumiaji wa WhatsApp na Facebook ambao ni wengi katika mataifa ya Amerika na Canada walisifu hatua hiyo.
Mamlaka ya Facebook iliahidi kudumisha masharti ya WhatsApp na kutoa kitita cha 1milioni kulipa iwapo masharti hayo yatakiukwa.
Mapema mwezi huu Facebook ilisherehekea miaka 10 tangu kubuniwa na kufikia sasa ina watumiaji zaidi ya bilioni moja.
Soma zaidi http://www.mwananchi.co.tz/kitaifa/Facebook-kununua-WhatsApp-kwa-Sh1-36-trilioni/-/1597568/2215618/-/item/1/-/fqr6tj/-/index.html

Thursday, 20 February 2014

Pacha waliotenganishwa warejea

Watoto Elikana na Eliudi wakiwa wamebebwa na Daktari wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Glory Joseph (kushoto) na mama yao, Grace Joel baada ya kuwasili jana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam wakitokea India kwa matibabu. Picha ndogo pacha hao kabla ya kutenganishwa. Picha na Salim Shao 
Na Vicky Kimaro, Mwananchi

Posted  Alhamisi,Februari20  2014  saa 9:12 AM
Kwa ufupi
  • Waliwasili katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere saa 10:30 kwa ndege ya Shirika la Ndege la Oman, wakiwa na mama yao, Grace Joel (20) ambaye muda wote alionekana mwenye furaha.


Dar es Salaam. Watoto pacha, Elikana na Eliud waliokuwa wameungana wamerejea nchini jana wakitokea India walipokuwa kwa ajili ya kutenganishwa, tayari kwa kusherehekea kumbukumbu yao ya kutimiza mwaka mmoja leo.
Waliwasili katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere saa 10:30 kwa ndege ya Shirika la Ndege la Oman, wakiwa na mama yao, Grace Joel (20) ambaye muda wote alionekana mwenye furaha.
Elikana na Eliud walizaliwa Februari 20, mwaka jana wilayani Kyela, Mbeya wakiwa wameungana na baadaye kuhamishiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya ambako walipata rufaa ya kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Juni mwaka jana, Serikali iliwapeleka Hospitali ya Chennai, India ambako Desemba 16, mwaka jana walifanyiwa upasuaji mkubwa wa kuwatenganisha.
Akizungumza baada ya kutua jana, Grace alisema: “Nina furaha ya ajabu, sijui nimshukuru vipi huyu Mungu wangu, ni mkuu mno. Ninawashukuru sana madaktari wa India, ninawashukuru madaktari wa Muhimbili na sana naishukuru Serikali yangu kwa kunipa msaada huu mkubwa. Siamini kama leo ningekuwa narudi salama na watoto wangu kila mmoja akijitegemea,” alisema Grace.
“Kesho (leo) ni birthday yao, wanatimiza mwaka mmoja, ni furaha ya ajabu niliyo nayo, siwezi kuelezea. Siku nilipoambiwa watoto wangu watafanyiwa upasuaji mkubwa na watapumulia mashine kwa wiki moja, nilichanganyikiwa kwa kweli, sikutamani tena hata hiyo operesheni ifanyike ila sikuwa na jinsi zaidi ya kumwomba Mungu.”
Akizungumza uwanjani hapo, Dk Glory Joseph kutoka Hospitali ya Rufaa Bugando ambaye aliongozana na watoto hao kurudi nchini alisema: “Watoto wamerejea salama na wanaendelea vizuri ila watakuwa Moi (Hospitali ya Mifupa Muhimbili), kwa uangalizi maalumu mpaka hapo madaktari watakapoona inafaa ndipo watapewa ruhusu ya kurudi nyumbani kwao Mbeya.
“Agosti watarudishwa tena India kwa ajili ya upasuaji katika njia ya mkojo na kufunga sehemu ya utumbo,” alisema.
Msemaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Nsachris Mwamwaja alisema upasuaji wa watoto hao ulichukua saa 18. Katika muda huo, saa 13 zilitumika kutenganisha viungo vilivyoungana sehemu ya chini ya uti wa mgongo, sehemu ya utumbo mpana, njia ya mkojo, kibofu na sehemu ya uume, wakati saa tano zilitumika kuunganisha sehemu zilizotenganishwa.
Pacha hao walifanyiwa upasuaji na madaktari 20 na wataalamu wengine wa afya ambao walitumia saa 18 kuwatenganisha. Kiasi cha Sh100 milioni kilitumika.
Meneja wa Huduma za Wagonjwa wa Kimataifa wa hospitali hiyo, Senu Sam alizungumza na gazeti dada la Mwananchi, The Citizen juzi na kusema wamefanya sherehe kwa ajili ya mafanikio ya upasuaji huo.
Sam alisema pacha hao wameonana ana kwa ana kwa mara ya kwanza, wiki tatu baada ya upasuaji... “Imekuwa faraja kuwaona wakitazamana. Eliudi alivishika vidole vya mkono wa Elikana na kuvichezea. Wanaonekana kufurahia mazingira mapya,” alisema Sam.
mwananchi.co.tz

'Mini Skirt' Zapigwa marufuku Uganda



Katika kuonyesha nia ya kulinda utamaduni wa kiafrika Uganda imeonyesha njia licha vitisho kutoka Marekani.  Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ametia saini sheria mpya inayotoa adhabu kali kwa wanaopatikana na hatia ya kutembea nusu uchi au kuhusika na vitendo vinavyohusisha picha zenye watu uchi.
Wanawake pia wamezuiwa kabisa kuvalia sketi fupi sana au 'Mini Skirt' kama zinavyojulikana au blausi ambazo zinaonyesha kifua chao hadharani na kusababisha hisia za kingono .
Sheria hiyo inasema kuwa nguo kama hizo zitakubalika tu ikiwa zinatumika kwa ajili ya mafunzo au wakati wa michezo na hafla za kitamaduni.
Akihutubia waandishi wa habari, mjini Kapmala, waziri wa maadili na utawala bora, Reverend Simon Lokodo alisema kuwa Rais Museveni alipitisha sheria hiyo tarehe 6 mwezi huu, miezi mwili bada ya bunge kuipitisha.
Kwa mujibu wa sheria hiyo kamati dhidi ya vitendo hivyo itabuniwa ili iweze kutekeleza sheria hiyo kwa kuhakikisha kuwa picha, au video zenye watu uchi zinanaswa na kuharibiwa.
Kamati hiyo, itajumuisha watu kutoka katika sekta mbali mbali ikiwemo ya habari na utumbuizaji.
Sheria hiyo inasema kuwa mtu yeyote atakayepatikana akijihusisha na vitendo cya watu kuwa uchi, kuvalia nusu uchi , kuona sinema za watu wakiwa uchi au kuchapisha picha za watu walio uchi kwa lengo la kuleta hisia tofauti utachukuliwa hatua kali za kisheria.
Waziri alisema kuwa serikali haitaki watu kuvalia nguo zisizo na heshima na kuzua hisia zisizofaa miongoni mwa watu.
Watakaopatikana wakivunja sheria na kuvalia visivyo watafungwa hadi miak 10 na wale watakaopatiokana na hatia ya kuhusisha watoto katika biashara ya ngono watafungwa hadi miaka 15.
chanzo: bbcswahili.com

Wednesday, 19 February 2014

BUNGE LA KATIBA LILILOMEZWA NA AJENDA YA MUUNGANO

Nimefurahishwa sana kuona hatimaye Bunge la katiba mpya likianza hapo jana, ni jambo lililokuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa.
Hata hivyo furaha yangu ina wasiwasi mwingi kutokana na ajenda ya Muungano kuonekana ndio muhimu zaidi kwani kila mtu na kila chama kabla bunge halijaanza wamekuwa wakizungumza muundo wa Muungano.
Nina shaka kubwa kwamba inawekezekana Bunge hili likakubwa na minyukano juu ya muungano na kusahau kwamba Muungano ni suala la Kisiasa lakini bado yapo masuala muhimu wanayohitaji watanzania.
Tunaweza kupata katiba nzuri ya Muungano ni kuwa na muungano safi kama wanasiasa watakavyo lakini kama haitazingatia masuala ya kijamii, kiuchumi na elimu itakuwa sawa na nyumba iliyosakafiwa nje ndani vumbi tupu.
Nchi yetu haisongi mbele kwa sababu ya masuala ya utendaji hivyo lazima ipatikane katiba itakayoweka misingi bora ya utendaji, utawala na uwajibikaji.
Photo: BUNGE LA KATIBA LILILOMEZWA NA AJENDA YA MUUNGANO
======================================
Nimefurahishwa sana kuona hatimaye Bunge la katiba mpya likianza hapo jana, ni jambo lililokuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa.
Hata hivyo furaha yangu ina wasiwasi mwingi kutokana na ajenda ya Muungano kuonekana ndio muhimu zaidi kwani kila mtu na kila chama kabla bunge halijaanza wamekuwa wakizungumza muundo wa Muungano.
Nina shaka kubwa kwamba inawekezekana Bunge hili likakubwa na minyukano juu ya muungano na kusahau kwamba Muungano ni suala la Kisiasa lakini bado yapo masuala muhimu wanayohitaji watanzania.
Tunaweza kupata katiba nzuri ya Muungano ni kuwa na muungano safi kama wanasiasa watakavyo lakini kama haitazingatia masuala ya kijamii, kiuchumi na elimu itakuwa sawa na nyumba iliyosakafiwa nje ndani vumbi tupu.
Nchi yetu haisongi mbele kwa sababu ya masuala ya utendaji hivyo lazima ipatikane katiba itakayoweka misingi bora ya utendaji, utawala na uwajibikaji.

Monday, 17 February 2014

Save time with Keyboard Shortcuts

Many PC users are getting trouble on using both keyboard and mouse for different commands. Today i bring shortcuts which eneable user to play with keyboard only when using PC, this save time and increase speed rather than using a mouse.


Windows system key combinations
•    F1: Help
•    CTRL+ESC: Open Start menu
•    ALT+TAB: Switch between open programs
•    ALT+F4: Quit program
•    SHIFT+DELETE: Delete item permanently
•    Windows Logo+L: Lock the computer (without using CTRL+ALT+DELETE)
Windows program key combinations
•    CTRL+C: Copy
•    CTRL+X: Cut
•    CTRL+V: Paste
•    CTRL+Z: Undo
•    CTRL+B: Bold
•    CTRL+U: Underline
•    CTRL+I: Italic
Mouse click/keyboard modifier combinations for shell objects
•    SHIFT+right click: Displays a shortcut menu containing alternative commands
•    SHIFT+double click: Runs the alternate default command (the second item on the menu)
•    ALT+double click: Displays properties
•    SHIFT+DELETE: Deletes an item immediately without placing it in the Recycle Bin
General keyboard-only commands
•    F1: Starts Windows Help
•    F10: Activates menu bar options
•    SHIFT+F10 Opens a shortcut menu for the selected item (this is the same as right-clicking an object
•    CTRL+ESC: Opens the Start menu (use the ARROW keys to select an item)
•    CTRL+ESC or ESC: Selects the Start button (press TAB to select the taskbar, or press SHIFT+F10 for a context menu)
•    CTRL+SHIFT+ESC: Opens Windows Task Manager
•    ALT+DOWN ARROW: Opens a drop-down list box
•    ALT+TAB: Switch to another running program (hold down the ALT key and then press the TAB key to view the task-switching window)
•    SHIFT: Press and hold down the SHIFT key while you insert a CD-ROM to bypass the automatic-run feature
•    ALT+SPACE: Displays the main window's System menu (from the System menu, you can restore, move, resize, minimize, maximize, or close the window)
•    ALT+- (ALT+hyphen): Displays the Multiple Document Interface (MDI) child window's System menu (from the MDI child window's System menu, you can restore, move, resize, minimize, maximize, or close the child window)
•    CTRL+TAB: Switch to the next child window of a Multiple Document Interface (MDI) program
•    ALT+underlined letter in menu: Opens the menu
•    ALT+F4: Closes the current window
•    CTRL+F4: Closes the current Multiple Document Interface (MDI) window
•    ALT+F6: Switch between multiple windows in the same program (for example, when the Notepad Find dialog box is displayed, ALT+F6 switches between the Find dialog box and the main Notepad window)
Shell objects and general folder/Windows Explorer shortcuts
For a selected object:
•    F2: Rename object
•    F3: Find all files
•    CTRL+X: Cut
•    CTRL+C: Copy
•    CTRL+V: Paste
•    SHIFT+DELETE: Delete selection immediately, without moving the item to the Recycle Bin
•    ALT+ENTER: Open the properties for the selected object
To copy a file
Press and hold down the CTRL key while you drag the file to another folder.
To create a shortcut
Press and hold down CTRL+SHIFT while you drag a file to the desktop or a folder.
General folder/shortcut control
•    F4: Selects the Go To A Different Folder box and moves down the entries in the box (if the toolbar is active in Windows Explorer)
•    F5: Refreshes the current window.
•    F6: Moves among panes in Windows Explorer
•    CTRL+G: Opens the Go To Folder tool (in Windows 95 Windows Explorer only)
•    CTRL+Z: Undo the last command
•    CTRL+A: Select all the items in the current window
•    BACKSPACE: Switch to the parent folder
•    SHIFT+click+Close button: For folders, close the current folder plus all parent folders
Windows Explorer tree control
•    Numeric Keypad *: Expands everything under the current selection
•    Numeric Keypad +: Expands the current selection
•    Numeric Keypad -: Collapses the current selection.
•    RIGHT ARROW: Expands the current selection if it is not expanded, otherwise goes to the first child
•    LEFT ARROW: Collapses the current selection if it is expanded, otherwise goes to the parent
Properties control
•    CTRL+TAB/CTRL+SHIFT+TAB: Move through the property tabs
Accessibility shortcuts
•    Press SHIFT five times: Toggles StickyKeys on and off
•    Press down and hold the right SHIFT key for eight seconds: Toggles FilterKeys on and off
•    Press down and hold the NUM LOCK key for five seconds: Toggles ToggleKeys on and off
•    Left ALT+left SHIFT+NUM LOCK: Toggles MouseKeys on and off
•    Left ALT+left SHIFT+PRINT SCREEN: Toggles high contrast on and off
Microsoft Natural Keyboard keys
•    Windows Logo: Start menu
•    Windows Logo+R: Run dialog box
•    Windows Logo+M: Minimize all
•    SHIFT+Windows Logo+M: Undo minimize all
•    Windows Logo+F1: Help
•    Windows Logo+E: Windows Explorer
•    Windows Logo+F: Find files or folders
•    Windows Logo+D: Minimizes all open windows and displays the desktop
•    CTRL+Windows Logo+F: Find computer
•    CTRL+Windows Logo+TAB: Moves focus from Start, to the Quick Launch toolbar, to the system tray (use RIGHT ARROW or LEFT ARROW to move focus to items on the Quick Launch toolbar and the system tray)
•    Windows Logo+TAB: Cycle through taskbar buttons
•    Windows Logo+Break: System Properties dialog box
•    Application key: Displays a shortcut menu for the selected item
Microsoft Natural Keyboard with IntelliType software installed
•    Windows Logo+L: Log off Windows
•    Windows Logo+P: Starts Print Manager
•    Windows Logo+C: Opens Control Panel
•    Windows Logo+V: Starts Clipboard
•    Windows Logo+K: Opens Keyboard Properties dialog box
•    Windows Logo+I: Opens Mouse Properties dialog box
•    Windows Logo+A: Starts Accessibility Options (if installed)
•    Windows Logo+SPACEBAR: Displays the list of Microsoft IntelliType shortcut keys
•    Windows Logo+S: Toggles CAPS LOCK on and off
Dialog box keyboard commands
•    TAB: Move to the next control in the dialog box
•    SHIFT+TAB: Move to the previous control in the dialog box
•    SPACEBAR: If the current control is a button, this clicks the button. If the current control is a check box, this toggles the check box. If the current control is an option, this selects the option.
•    ENTER: Equivalent to clicking the selected button (the button with the outline)
•    ESC: Equivalent to clicking the Cancel button
•    ALT+underlined letter in dialog box item: Move to the corresponding item
Source http://support.microsoft.com/kb/126449