Mpedwa msomaji wa gazeti tandu la KII kumekuwepo mgogoro wa mahusiano ya kimapenzi umeendelea kuleta maafa hasa jijini Dar es Salaam. Tukiwa hatujasahau mauaji ya yaliyotokea kwenye familia ya mtangazaji Ufoo Saro tayari risasi zisikika Ilala Bungoni mojawapo ya viunga vya jiji la Dar es Salaam, risasi zilipigwa na Mpenzi wa Christina Newa na kusababisha vifo vya watu wawili. Sitaki kujadili zaidi juu ya hii miwili kwani ni alama tu ya migogoro mingi iliyopo nchini.
JE NI WIVU, UNAFIKI, UONGO KATIKA MAPENZI AU LIPO LINGINE?
HII NI MIGOGORO KABLA YA NDOA VIPI NDANI YA NDOA KUPO SALAMA?
Njoo tujadili hapa tupate suluhisho.
Hapa chini ni mojawapo ya picha za mauaji hayo zilizotawala kwenye vyombo vya habari
No comments:
Post a Comment