m

"If you want to conquer fear, don't sit at home and think about it. Go out and get busy. "

-- Dale Carnegie, motivational expert

Sunday, 14 October 2012

UCHOMAJI MAKANISA MBAGALA

Ndugu msomaji
Shalom
Kumetokea tukio la ajabu na mbalo sasa linakuwa kawaida ka nchi yetu juu ya uchomaji makanisa, kabla jeraha la Zanzibar halijapoa makanisa mbagala matatu yamechomwa Mbagala. Sababu ikiwa ni mabishano ya watoto kwamba ukikojolea kuran atageuka Panya au paka, MTOTO (MKRISTO) naamini akisukumwa na imani akaamni kuwa hawezi kugeuka panya kwa kukojolea kuran na hivyo akaamua kuthibitisha kwa   kukojolea kuran na kama alivyoamni hakugeuka panya (MTOTO SHUJAA) Kwa sababu akawa amefichua uongo mkubwa kwamba kuran ina uwezo wa kumgeuza mtu panya wakaksirika na kutaka kujichukulia sheria mkononi wamuue lakini kakimbilia Kituo cha Polisi, kwa hasira wakakimbia kuchoma makanisa. Hatuwezi kusema nchi ina amani wakati makanisa yanaendelea kuchomwa moto, hatuwezi kusema nchi haiamni dini wakati dini fulani imekuwa ikituma mabavu kuinyanyasa dini nyingine kwa kuchoma makanisa. Kuchoma makanisa kuna athari mbaya kwa mkristo kwani sasa atashiriki ibada kwa wasi wasi na hata mazungyumzo baina ya muislamu na  mkristo yameingia dosari. Chonde kwa serikali kuhakiksha inawadhibiti hao wenye kuwa na chuki na ukristo.
IMANI THABITI ITADUMU MILELE HATA  MASINAGOGI YAKICHOMWA, TUTENDELEA KUYANENA TUNAYOYAAMINI

Hapa nimechapisha picha za matukio ya uchomaji makanisa mbagala na ziara ya Mhe. Raisi kwa mujibu wa blogu mbalimbali kama zilivyochapishwa chini ya kila habari au picha.


Mawe yametoboa vioo vingi
Katika madhabahu,pameharibiwa


Mabenchi yamepinduliwa na kuvunjwa
Mimbari imechomwa na kuharibiwa






Ofisi ya Kanisa imechomwa moto
Wachungaji wa kanisa hili wakisubiria taarifa kutoka polisi
Hawa wanafanya maombi na nimesikia wakiwaombea waislamu mungu awasamehe
Vifaa vya uimbaji vimechomwa moto
Washarika wakiwa kanisani kwao asubuhi hii
Gari la mchungaji pia limeharibiwa kabisa


RAIS JAKAYA KIKWETE ATEMBELEA MAKANISA YALIYOCHOMWA NA WAISLAM MBAGALA JIJINI DAR ES SALAAM

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia uharibifu mkubwa ulkiofanywa katika kanisa la Pentekoste la Mbagala jijini Dar es salaam wakati wa vurugu za Waislamu Ijumaa iliyopita kufuatia habari kuwa kuna mtoto amekojolea Msahafu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akioneshwa na Katibu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam Bw. M Mkosimonga  uharibifu mkubwa uliofanywa kwenye kanisa hilo huko  Mbagala jijini Dar es salaam wakati wa vurugu za Waislamu Ijumaa iliyopita kufuatia habari kuwa kuna mtoto amekojolea Msahafu
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa pole kwa baadhi ya waumini wa  Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam kufuatia uharibifu mkubwa uliofanywa kwenye kanisa hilo huko  Mbagala jijini Dar es salaam wakati wa vurugu za Waislamu Ijumaa iliyopita kufuatia habari kuwa kuna mtoto amekojolea Msahafu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akioneshwa na Mchungaji Alkwin Mbawi uharibifu mkubwa uliofanywa kwenye kanisa la Pentekoste la Mbagala jijini Dar es salaam wakati wa vurugu za Waislamu Ijumaa iliyopita kufuatia habari kuwa kuna mtoto amekojolea Msahafu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akioneshwa na Mchungaji Alkwin Mbawi uharibifu mkubwa uliofanywa kwenye kanisa la Pentekoste la Mbagala jijini Dar es salaam wakati wa vurugu za Waislamu Ijumaa iliyopita kufuatia habari kuwa kuna mtoto amekojolea Msahafu
 
PICHA NA MUHIDIN MICHUZI