Shalom
Kumetokea tukio la ajabu na mbalo sasa linakuwa kawaida ka nchi yetu juu ya uchomaji makanisa, kabla jeraha la Zanzibar halijapoa makanisa mbagala matatu yamechomwa Mbagala. Sababu ikiwa ni mabishano ya watoto kwamba ukikojolea kuran atageuka Panya au paka, MTOTO (MKRISTO) naamini akisukumwa na imani akaamni kuwa hawezi kugeuka panya kwa kukojolea kuran na hivyo akaamua kuthibitisha kwa kukojolea kuran na kama alivyoamni hakugeuka panya (MTOTO SHUJAA) Kwa sababu akawa amefichua uongo mkubwa kwamba kuran ina uwezo wa kumgeuza mtu panya wakaksirika na kutaka kujichukulia sheria mkononi wamuue lakini kakimbilia Kituo cha Polisi, kwa hasira wakakimbia kuchoma makanisa. Hatuwezi kusema nchi ina amani wakati makanisa yanaendelea kuchomwa moto, hatuwezi kusema nchi haiamni dini wakati dini fulani imekuwa ikituma mabavu kuinyanyasa dini nyingine kwa kuchoma makanisa. Kuchoma makanisa kuna athari mbaya kwa mkristo kwani sasa atashiriki ibada kwa wasi wasi na hata mazungyumzo baina ya muislamu na mkristo yameingia dosari. Chonde kwa serikali kuhakiksha inawadhibiti hao wenye kuwa na chuki na ukristo.
IMANI THABITI ITADUMU MILELE HATA MASINAGOGI YAKICHOMWA, TUTENDELEA KUYANENA TUNAYOYAAMINI