m

"If you want to conquer fear, don't sit at home and think about it. Go out and get busy. "

-- Dale Carnegie, motivational expert

Saturday, 20 October 2012

Maandamano ya Kutetea????? na Polisi

Dar kwachafuka, ni vita si maandamano maana hata jeshi limetumika. Jamani Uislamu naambiwa maana yake nia amani inakuwaje Dunia nzima vurugu zisababishwe na waislamu tu. Inachosha kusikia vurugu za waislamu dunia nzima, Hebu Tanzama karibu nchi zote zinazopigana duniani ni za kiislamu, twende Niaijeria, Sudani, Misri, Syria, Afghanistan, Mali, Libya, packstani n.k Mahali popote penye uislamu amani iemkuwa tatizo kubwa. Tuinuke tuombe Mungu maana la sivyo hali itakuwa tete. Waamuzi 6:27-32 inajibu juu ya madai ya kiislamu kwamba kama Mungu wao au mtumu wao ni Mungu basi na ajitetee mwenyewe iwaje atetewe. Kama Mungu anahitaji kutetewa kiasi atawezaje kutatua matatuzo makubwa ya kibinadamu, atawezaje kuponya ikiwa hawezi kumuwajibisha mwanadamu anayemdhihaki au kumkejeli( Huyo atakuwa siyo Mungu, huyo ni sawa tu na Baali.

hapa kuna matukio kwa mujibu wa globalpublishers

Kapagi.

MAANDAMANO YA WAISLAMU YALIVYOCHAFUA HALI YA HEWA JIJINI DAR LEO

Wananchi wakitawanyika wakati wa vurugu eneo la Msimbazi, Kariakoo jijini Dar.
Polisi wakiimarisha ulinzi eneo la Kariakoo leo.
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa leo katika maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam baada ya polisi kuzuia maandamano yaliyotaka kufanywa na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu kitendo kilichopelekea mabomu ya machozi kulipuliwa na baadhi ya waumini hao kutia nguvuni na polisi.
Magari ya Jeshi la Wananchi Tanzania yakielekea Kariakoo kwa ajili ya kuimarisha ulinzi eneo hilo.
Jamaa huyu alidakwa na polisi wakati wa maandamano hayo.
Polisi wakiwatangazia wananchi waliokuwa eneo la Kariakoo kutawanyika mara moja wakati wa vurugu hizo.
Mama huyu alipoteza fahamu baada ya milipuko kadhaa kutokea eneo hilo.
Polisi wakiwa kazini kuzuia maandamano hayo.
Baadhi ya waandamanaji waliokamatwa wakati wa vurugu hizo wakiingizwa kituo cha polisi Msimbazi.
(PICHA: MAKONGORO OGING', HARUNI SANCHAWA NA RICHARD BUKOS / GPL)