Dar kwachafuka, ni vita si maandamano maana hata jeshi limetumika. Jamani Uislamu naambiwa maana yake nia amani inakuwaje Dunia nzima vurugu zisababishwe na waislamu tu. Inachosha kusikia vurugu za waislamu dunia nzima, Hebu Tanzama karibu nchi zote zinazopigana duniani ni za kiislamu, twende Niaijeria, Sudani, Misri, Syria, Afghanistan, Mali, Libya, packstani n.k Mahali popote penye uislamu amani iemkuwa tatizo kubwa. Tuinuke tuombe Mungu maana la sivyo hali itakuwa tete. Waamuzi 6:27-32 inajibu juu ya madai ya kiislamu kwamba kama Mungu wao au mtumu wao ni Mungu basi na ajitetee mwenyewe iwaje atetewe. Kama Mungu anahitaji kutetewa kiasi atawezaje kutatua matatuzo makubwa ya kibinadamu, atawezaje kuponya ikiwa hawezi kumuwajibisha mwanadamu anayemdhihaki au kumkejeli( Huyo atakuwa siyo Mungu, huyo ni sawa tu na Baali.
hapa kuna matukio kwa mujibu wa globalpublishers
Kapagi.
MAANDAMANO YA WAISLAMU YALIVYOCHAFUA HALI YA HEWA JIJINI DAR LEO
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa leo
katika maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam baada ya polisi kuzuia
maandamano yaliyotaka kufanywa na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu
kitendo kilichopelekea mabomu ya machozi kulipuliwa na baadhi ya waumini
hao kutia nguvuni na polisi.
(PICHA: MAKONGORO OGING', HARUNI SANCHAWA NA RICHARD BUKOS / GPL)