m

"If you want to conquer fear, don't sit at home and think about it. Go out and get busy. "

-- Dale Carnegie, motivational expert

Sunday, 7 April 2013

Kerry kuishinikiza Uturuki kuhusu uhusiano na Israel, Syria na Iraq

Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani John Kerry amewasili nchini Uturuki, katika ziara iliyozingwa na mauaji ya mwanadiplomasia wa kike katika shambulio la bomu nchini Afghanistan.
Kerry aliwasili mjini Istanbul wiki mbili baada ya rais wa Marekani Barack Obama kunadi maridhiano kati ya Uturuki na Israel, ambazo uhusiano wake uliharibiwa na mauaji ya raia tisa wa Uturuki katika tukio la uvamizi dhidi ya meli ya misaada ya Uturuki na jeshi la majini la Israel mwaka 2010. Maridhiano hayo huenda yakasaidia uratibu wa kikanda kuzuia kusambaa kwa mgogoro wa Syria na kulegeza kutengwa kidiplomasia kwa Israel katika mashariki ya kati, wakati taifa hilo la kiyahudi likikabiliwa na changamoto za programu ya nyuklia ya Iran.
Rais Barack Obama akimtambulisha waziri John Keryy kwa rais wa Israel Shimon Perez. Rais Barack Obama akimtambulisha waziri John Keryy kwa rais wa Israel Shimon Perez.
Licha ya Obama kufanikiwa kurejesha mawasiliano kati ya mawaziri wakuu wa Israel na Uturuki, ambao walikuwa hawajazungumza tangu mwaka 2010, kupitia mawasiliano ya simu ya pande tatu ya Machi 22, utawala mjini Washington una wasiwasi kuwa huenda Uturuki inataka kujiondoa katika makubaliano hayo. Israel ilisalimu kwa madai ya muda mrefu ya Uturuki, ambayo iliwahi kuwa mshirika wake muhimu, kuomba radhi rasmi kutokana na vifo vilivyotokea ndani ya Meli ya Uturuki ya Mavi Marmara.
Meli hiyo ilipandwa na wanamaji wa Israel ambao walizuia kundi dogo la vyombo vya majini vilivyokuwa vinakiuka vizuizi vya Israel dhidi ya ukanda unaoogozwa na chama cha Hamas wa Gaza. Ofisi ya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu imesema kuwa alikubali kukamilisha makubaliano juu ya fidia, na kwamba waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan alikubali kurejesha uhusiano, ikiwemo kuwarejesha mabalozi katika vituo vyao.
Afisa wa ngazi ya juu wa Marekani aliwaambia waandishi wa habari waliokuwa wanasifiri na Kerry kuwa alisema ataihimiza Uturuki kutekeleza makubaliano yake na Israel na kurejesha kamili uhusiano baina ya mataifa hayo mawili. Wakati afisa huyo alikanusha kuwa Marekani ina wasiwasi kuwa serikali ya Uturuki inaweza kuwa inajitenga na makubaliano hayo, afisa mwingien wa Marekani alisema mapema wiki hii kuwa utawala mjini Washington ulikuwa na wasiwasi.
Wakimbizi wa Syria walioko mpakani mwa Uturuki na Syria. Wakimbizi wa Syria walioko mpakani mwa Uturuki na Syria.
Changamoto ya wakimbizi
Kerry pia ataibua masuala ya Syria na Iraq wakati wa mazungumzo yake na na Waziri Mkuu Erdogan na waziri wa mambo ya kigeni wa Uturuki Ahmet Davutoglu mjini Istanbul, kituo chake cha kwanza katika ziara hii ya siku kumi mashariki ya kati, Ulaya na Asia. Motisha muhimu ya maridhiano kati ya Israel na Uturuki, angalau kwa upande wa Israel, ni hamu ya kupata washirika katika kanda, wakati ambapo vita vya Syria vinaingia katika mwaka wake wa tatu.
Ujumbe wa Kerry kwa Instanbul utahusisha kurudia umuhimu wa kuacha mipaka wazi kwa wakimbizi kutoka Syria, afisa mwandamizi aliwaambia waandishi wa habari waliokuwa na Kerry. Hii ni kutokana na ripoti zilizokanushwa na Uturuki Machi 28, kwamba iliwakusanya na kuwarudisha mamia ya wakimbizi wa Syria kufuatia machafuko katika kambi ya mpakani.
Mashuhuda walisema mamia ya wakimbizi waliwekwa ndani ya mabasi na kupelekwa mpakani baada ya kutokea makabiliano, ambapo wakimbizi katika kambi ya Suleymanansah, karibu na mji wa Uturuki wa Akcakale, waliwarushia mawe polisi jeshi, ambao nao walijibu kwa kutumia gesi ya kutoa machozi na mabomba ya kutoa maji kwa kasi.
Wizara ya mambo ya kigeni ya Uturuki ilisema watu 130 waliotambuliwa kama washiriki wa fujo hizo, walivuka mpaka na kurudi nchini Syria kwa hiari yao, ama kwa sababu hawakutaka kukabiliana na sheria, au kwa sababu ya kuhofia kisasi kutoka kwa wakimbizi wengine. Tukio hilo lilibainisha kero inayosababishwa na wakimbizi wa Syria kwa mataifa jirani.
Waziri John Kerry akiwa mjini Ankara, Uturuki. Waziri John Kerry akiwa mjini Ankara, Uturuki.
Tangu kuanza mgogoro huo miaka miwili iliyopita, zaidi ya wasyria milioni 1.2 wanaokimbia vurugu na mateso wamejiandikisha kama wakimbizi au wanasubiri kuandikishwa katika mataifa ya jirani, na Afrika Kaskazini, kwa mujibu wa takwimu za Umoja wa Mataifa. Wanahusisha 261,635 waliopo nchini Uturuki, wengi wao wakiishi katika kambi 17, ambazo nyingi zimejaa.
Uhusiano na Iraq, na amani ya mashariki ya kati
Kerry pia anatarajiwa kuishinikiza Uturuki kuboresha uhusiano wake na Iraq, ambayo inatatizika na juhudi za mkoa huru wa Kurdistan, ambako watu wa kabila la Wakurd wamekuwa wakijitawala tangu mwaka 1991, kuiuzia nishati Uturuki. Serikali kuu ya Iraq inasema jambo hili litakuwa linaikosesha mapato ya mafuta, ambayo ni ya nchi nzima.
Baada ya mazungumzo nchini Uturuki, Kerry ataelekea baadae leo nchini Israel na mjini Ramallah, katika ukingo wa Magharibi, ambako atakutana na rais wa mamlaka ya ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas. Atakutana pia na waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu siku ya Jumatatu, katika kile ambacho kitakuwa ziara yake ya tatu katika kanda ya mashariki ya kati tangu aanze kazi yake Februari mosi.
Maafisa wa Marekani wanasema ziara hiyo nyingine itampa nafasi kuangalia uwezekano wa kuanzisha tena mazungumzo ya amani, ambayo yalikwama kwa miaka zaidi ya miwili, kufuatia ziara ya Obama mwezi uliyopita. Safari ya Kerry kuelekea mjini Istanbul ilicheleweshwa kwa karibu masaa matatu, baada ya mlango wa ndege yake aina ya Boeing 757 kuharibika, na alihuzunishwa na msiba nchini Afghanistan, wakati akisubiri na mkewe Tereza Heinz Kerry kuletewa ndege nyingine.
Rais Barack Obama akimtambulisha waziri John Keryy kwa rais wa Israel Shimon Perez. Waziri Kerry akiwa na waziri mkuu wa Iraq, Nouri al-Maliki, alipoizuru nchi hiyo mwezi uliyopita.
Kabla ya kuondoka, aliwapigia simu wazazi wa mfanyakazi wa wizara yake kuwapa pole. Mfanyakazi huyo, ambaye Kerry alikutana naye mwezi uliyopita alipotembelea mjini Kabul, alifariki siku ya Jumamosi katika shambulio la bomu la barabarani dhidi ya msafara wa Jumuiya ya Kujihami NATO, katika mkoa wa Zabul, ambalo liliwauwa wanajeshi watatu wa NATO na raia wawili.
Shambulio la Zabul, limekuja karibu miezi saba kamili baada ya balozi Chris Steven na wamarekani wengine watatu kuuawa katika shambulio la kijeshi Septemba 11 dhidi ya ubalozi wa Marekani mjini Benghazi, Libya.
Mwandishi: Iddi Ismail Ssessanga/afpe,rtre
Mhariri: Bruce Amani

DW.DE

Top 10 Most Dangerous Countries for Christians


Some think Christianity’s flawed past and modern emphasis on grace and forgiveness make it an easy (perhaps deserving) target for criticism, and even reverse discrimination. Scathing rhetoric is part of any healthy debate, but should it go so far as to turn a blind eye?
Christianity may have become one of the world’s predominant religions, but there are still many places where Christians are persecuted, dispossessed, tortured and even killed for their faith. Often this occurs as part of governmental or religious policy. Western media frequently under-report these incidents, fearing to offend cultural sensibilities. As a result, much of this news must be culled from secular human rights publications and religious watchdog groups. Submitted for your approval are the Top 10 Most Dangerous Countries for Christians, as ranked by the Open Doors World Watch List.
10
Laos
Fft122 1S
Population: 6.4 million; 200,000 Christians
Main Religion: Buddhism
Government: Communist State
The Laotian government’s attitude towards Christians is openly hostile. Lao authorities, along with many in Lao society, view Protestant Christianity (and Hmong Christians in particular) as an American threat to Communist rule. Christian churches cannot operate freely, and Christians are restricted in their family and community roles. Many Laotian believers endure extreme physical and emotional pressure to abandon their faith.
Case in point: in 2010, 29 Christians were killed, and at least 20 were arrested and held without trial, while several churches were destroyed. In January of that same year, 11 Christian families in Laos’ Saravan province were driven out of their villages and into the forest, after refusing to deny their faith.
9
Uzbekistan
Uzbek Women Allege Forced Sterilization-460X307
Population: 27.5 million; 208,600 Christians
Main Religion: Islam
Government: Republic
Pressure on Uzbek Christians increased last year. The number of raids on churches spiked, and fines for illegal religious activities now exceed 100 times the minimum monthly wage. Short-term prison sentences (3-15 days) are frequently meted out as a punishment for Christian religious activities, and 27 year-old Baptist missionary Tohar Haydarov has been sentenced to ten years’ imprisonment on (likely trumped up) drugs charges. An appeal is being prepared for his release.
Many churches have also lost their registration and some of their buildings in 2010 as well. Recent Christian converts also experience job loss, beatings, social rejection and often expulsion from the family home.
8
Iraq
D38E27D7228F4Dff832Cbb91A290C820
Population: 30.7 million; 334,000 Christians
Main Religion: Islam
Government: Parliamentary democracy
Don’t be fooled by all those American soldiers: violence against Christians in Iraq is on the rise, with large numbers of believers killed and injured. ‘Targeted killings’ of Christians in Mosul during the run-up to the March 2010 election, led many Christians to flee their villages and settle in the Nineveh plains. Fears of a ‘Christian ghetto’ in Baghdad were born that day. Pope Benedict XVI even made an appeal for the safety of Iraqi Christians during this time.
Attacks on church buildings and Christian institutions also increased in the latter half of 2010, and at least 58 Christians were killed in a bomb attack on a Baghdad church during an evening Mass, in October of that year.
7
Yemen
Files
Population: 23.6 million; very few Christians
Main Religion: Islam
Government: Republic
Yemen’s state religion is Islam, and sharia law is the source of all legal matters. Foreigners do have limited religious freedom, but evangelism of any kind is strictly prohibited. Case in point: several expatriate workers were deported, in 2010, for discussing Christianity with (well-meaning) Muslims who asked about it.
Moreover, Yemenis are not allowed to leave Islam; those who convert to Christianity face persecution from family, authorities and extremist groups. Worse, terrorist movements and separatists made Yemen very unstable recently. Christian aid worker Johannes Hentschel, his wife Sabine and their young children Lydia, Anna and Simon, along with married British engineer Anthony Saunders were among nine foreigners abducted in in the north-western Yemeni province of Saada.
Last year Anna and Lydia (3 and 5 years old respectively) were rescued by security forces from neighboring Saudi Arabia. But the Saudis also found the bodies of three other abducted Christians, German Bible students Rita Stumpp, Anita Gruenwald, and South Korean teacher, Eom Young Sun. German and British investigators have since ended their active search for the other hostages.
6
Maldives
Shaheemandbari
Population: 311,000; very few Christians
Main Religion: Islam
Government: Republic
All citizens must be Muslims in Maldives, as sharia law forbids practicing of any religion except Islam. Christian churches are forbidden, and importing Christian literature into the country is strictly prohibited.
New regulations governing religious practice were unveiled by the government in 2010, and stricter policies have been imposed on tourists after some were discovered with Bibles. The few indigenous believers in Maldives are isolated from one other and are closely monitored by the law enforcement , religious authorities, and locals.

5
Somalia
Somali Woman Walks Past A Church Destroyed By Fighting In Mogadishu January 6, 2008
Population: 9.1 million; very few Christians
Main Religion: Islam
Government: Charitably described as ‘Transitional’
Somalia as a “country” has been without an effective central government since 1991. It’s dangerous for anyone to live there, but doubly dangerous to be a Christian.
At least fifteen Christians were killed by Islamist insurgents Al-Shabaab, in 2009, and they killed at least another eight Christians, in 2010. So it’s no wonder a quarter of all Christians have already fled the country. The few believers remaining are heavily persecuted and must practice their faith in secret, lest they be murdered in front of their children, like Christian convert Osman Abdullah Fataho.
Al-Shabaab has taken control of most of southern Somalia, and they have a stated goal to wipe out Christianity from all of Somalia. However, recent indications hint they may be losing popularity.
4
Saudi Arabia
Saudiwomen
Population: 25.7 million; 565,400 Christians
Main Religion: Islam
Government: Monarchy
There is no religious freedom in the Islamic kingdom of Saudi Arabia. Public non-Muslim worship is absolutely forbidden, and conversion to Christianity – perceived apostasy – is punishable by death. Most Christians there are monitored foreign workers who are allowed to worship privately within isolated ‘foreigner’ compounds, and even then they sometimes face difficulty.
For example, twelve Filipino Christians and a priest were arrested while attending a service in a private home, in October 2010. They were verbally charged with ‘blaspheming against Islam” and cordially banned for life from Saudi Arabia (quiet deportations are a new tactic of the religious police – it avoids the media scrutiny that heavy-handed arrests generate).
Saudi believers fear being open about their faith, even with their family. There have also been reports of several Christians being physically harmed for their faith, in 2010.
3
Afghanistan
Afghanchristians
Population: 28.15 million; few Christians
Main Religion: Islam
Government: Islamic Republic
Open Christians in Afghanistan face constant pressure from family, society and government agents. Believers usually keep a very low profile, and never meet together publicly. In June 2010, the deputy secretary of Parliament called for the execution of Christian converts, after seeing baptisms of Afghan Christians on an Afghan television (correction—THE Afghan television).
As a result, many Christians have gone into hiding, and, in August 2010, the Taliban shot and killed ten members of a Christian medical team that had been providing eye treatment and other health care in remote villages of northern Afghanistan.
2
Iran
Iranelecprot-Ds
Population: 74.2 million; 450,000 Christians
Main Religion: Islam
Government: Islamic Republic
There was a sharp increase in the number of Christians arrested in Iran during 2010. Although some were later released, pressure on the Christian church remains very high. Many of the approximately 450,000 believers from Muslim backgrounds live in fear of harassment by the government.
Even worse, the regime has lost a great deal of credibility following the social upheaval of the 2009 elections, and subsequent demonstrations. In a transparent effort to distract attention from continuing protests, the Iranian government has been lashing out against Christians with even greater fervor.
1
North Korea
 46426807 766
Population: 20 million; 400,000 Christians
Main Religion: Atheism
Government: Dynastic Communist Dictatorship
North Korea’s persecution of Christians knows no equal, and being a Christian there is considered one of the worst crimes possible. North Korean communist dogma considers religion an ‘opiate’ of the people, unless of course that religion is the personality cult of ‘Great Leader’ Kim Il Sung or his son, ‘Dear Leader’ Kim Jong Il.
North Korean Christians must hide their faith at all times, and Christian parents can’t teach their faith to their children until the kids are old enough to understand the dangers (and for parents to be sure their kids won’t turn them in). Just owning a Bible in North Korea is grounds for execution or deportment to a harsh labor camp (essentially a gulag).
In 2010, hundreds of Christians were arrested: some were publicly executed, while others were sentenced to labor camps. Despite the risks, the Christian church is growing: an estimated 400,000 believers now sing silent hymns in cramped basements of crumbling buildings.
For help of  http://listverse.com/2011/11/24/top-10-most-dangerous-countries-for-christians/