Tuesday, 17 March 2015

ISOME KATIBA INAYOPENDEKEZWA USIKIMBIE KUPIGA KURA

Mtanzania ninayo shauku kukuchochea kushiriki kupiga kura ya NDIYO/HAPANA kwa ajili ya katiba inayopendekezwa. Tafadhali usikimbie kupiga kura kwani ni haki yako ili kuzuia kuwapa nafasi wachache kwa ajili ya maamuzi muhimu ya nchi. Isome katiba kisha ushiriki kupiga kura kwa kuepuka unafiki, ikiwa hujaridhika nayo utapiga kura ya HAPANA maana yake utakuwa umezuia kupitisha katiba inayopendekezwa na ikiwa umeipenda utapiga kura ya ndiyo. 

IKIWA HUJAPATA NAKALA YA KATIBA MFUATE MWENYEKITI WA KIJIJI/MTAA AU KITONGOJI


No comments:

Post a Comment