Tuesday, 17 March 2015

JE SERA MPYA YA ELIMU NDIO SULUHISHO LA MATATIZO YA ELIMU NA AJIRA TANZANIA?

Hivi karibuni kumezinduliwa sera mpya ya elimu na mheshimiwa rais Dkt. J.Kikwete. Kumekuwa na kilio juu ya elimu yetu na changamoto ya ajira. Je sera hii mpya ndio mwarobaini?

BOFYA HAPA UPAKUE SERA MPYA YA ELIMU UJISOMEE MWENYEWE

No comments:

Post a Comment