Tuesday, 28 May 2013

MSITU WA TANESCO SAE MBEYA NI HATARI

TANESCO wanapaswa kufikiri zaidi ili kuwanusuru wakazi wa Sae na maeneo ya jirani wanaokatiza kwenye msitu wa Tanesco kutokana na kukithiri kwa vibaka. Kila jioni wakazi wa eneo hilo wamekuwa na hofu ya usalama wao na mali zao, hivyo kuomba msitu huo uondolewe. 

Kama inaonekana msitu huo kuwa muhimu basi wapange walinzi wa zamu kulinda ndani ya msitu huo ili kutoruhusu vibaka kufanya maficho kwa ajili ya kuvizia watu wanaopita nyakati za jioni.







No comments:

Post a Comment