MLIPUKO WA BOMU KATIKA KANISA KATOLIKI HUKO ARUSHA
Ni habari ya kusikitisha baada ya kutokea mlipuko wa bomu wakati wa ibada ya kanisa katoliki Arusha. Bomu hilo limetupwa na watu wasiojulikana na muda mfupi kabla balozi wa papa hajaanza ibada ya kunyunyiza. Katika mlupuko huo amefariki mtu mmoja na watu zaidi ya 40 kujeruhiwa. Huu ni mfululizao mashambulizi kwa kanisa nchini Tanzania hasa ikizingatiwa bado kuna kumbukumbu ya mashambulizi kwa mapadri visiwani Zanzibar. Kanisa tuombe kwa ajili ya nchi kwani matukio haya yanaichafua Tanzanzia nchi Takatifu.
Hali ya eneo mlipuko ulipotokea
Waumini na wananchi wengine wakiwa na shauku ya kujua kilichotokea
Ulinzi umeimarishwa
Viongozi
wa Kanisa wakitoa taarifa ya kilichotokea kwa waandishi wa habari kabla
ya Balozi wa Papa kuondolewa Kanisani hapo chini ya ulinzi mkali wa
Polisi.
No comments:
Post a Comment