KUNYWA MAFUTA YA UBUYU NI HATARI!
TFDA imebaini kuwa mafuta ya ubuyu yana tindikali inayosababisha saratani katika mwili wa binadamu. Tahadhari hiyo imetolewa kwenye maonyesho ya Sabasaba yanayofanyika jijini Dar es Salaam.
Kwa habari zaidi bofya hapa
No comments:
Post a Comment